Saturday, September 1, 2012

Kumbe Pinda ujanja wote amefundishwa na huyu mzee?


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwalimu wake, John Kasalamimba wakati walipokutana Mjini Mpanda jana, Agust 30,2012.Mwalimu Kasalamimba alimfundisha Waziri Mkuu kuanzia mwaka 1960 darasa la tatu katika Shule ya Msingi ya Kibaoni wilayani Mlele, Mpanda.
                                Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment