Saturday, October 27, 2012

COASTAL CHAMA KUBWA....


Baada ya kusherekea Sikukuu ya Eid-el-Hajji hapo Jana
Mabingwa wa ligi daraja la kwanza (sasa ligi kuu) 1988,Coastal Union inshuka dimbani Kesho Jumapili ya terehe 28/10/2012 kukwaana Na JKT RUVU katika uwanja wa Azam Complex-Mbagala Dsm..

Ikiwa ni mechi yetu ya kumi(10) baada ya kufungwa mchezo mmoja tu na kutoa sare nne na kushinda michezo minne.Timu ya CUFC itashuka dimbani ikiwa na kumbukumbu nzuri ya kushinda 1-0 dhidi ya African Lyon na Kujikusanyia points 16.

CUFC inahitaji ushindi kesho ili kuwakikisha nia yetu kuwa Nafasi 3 za juu inatimia 
Huku ikiiombea dua mbaya leo Young Africans(Yanga) dhidi ya JKT Oljoro Kule Arusha na pia Azam na Simba-pale U/Taifa watoke angalau sare ili Pengo la Points lipungue .

Must Read and Maximum share on this Eid-ul-Azha...!!!

No comments:

Post a Comment