Friday, October 12, 2012

Hiri ndiro rikamanda ra geshi ra Porish Iringa....

RPC Michael Kamuhanda anaelalamikiwa na watanzania wengi kwa uzembe mpaka kusababisha kifo cha mwanahabari Mkoani Iringa. Ndie huyu......... sidhani kama wengi walikuwa wakimfahamu.

No comments:

Post a Comment