Saturday, October 20, 2012

Karibu mzee,lakini nchini waislam wamechachamaa wanataka haki yao.....

Makamu wa Rais Dk Bilal akimkaribisha nchini Rais Jakaya Kikwete jana baada ya kuwa nchini Oman kwa siku kadhaa katika ziara ya kikazi. Na kwa bahati mbaya kwa siku tatu mfululizo tangu Rais akiwa nje ya nchi Dar es Salaam ilikuwa ikiwaka moto kwa vurugu baada ya Sheikh Ponda Issa Ponda kukamatwa.

No comments:

Post a Comment