Sunday, October 14, 2012

Mkutano wa IMF na WB



Viongozi wa Shirika la Fedha la Kimataifa  (IMF) wakiwa kwenye ufunguzi wa mkutano kutoka kulia  ni rais wa Benki ya Dunia Dr. Jim Yong Kim akifuatiwa na katibu wake baada ya Katibu ni Bw. H.E. Rial Salamah,  ambaye ni mwenyekiti wa Mkutano huo na Gavana wa Benk kuu ya Lebanon na  wa mwishoni ni Mkurungezi Mtendaji Shirika la fedha la Kimataifa  Bi. Christine Lagarde Jijini Tokyo- Japan.



Mawaziri wa Fedha, Magavana pamoja na Wajumbe   waliohudhuria mkutano wa Benki ya Dunia - IMF wakifuatilia kwa makini hotuba  aliyokuwa anaiwasilisha mwenyekiti wa mkutano wa IMF na WB  katika  ufunguzi wa mkutano huo  Jijini Tokyo – Japan.
Chanzo: Mjengwa blog

No comments:

Post a Comment