Thursday, October 25, 2012

Serikali yajipanga....

 Rais Jakaya Mrisho kikwete na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda wakipitia Waraka wa Utumishi Namba 5 wa mwaka 2009 kuhusu matumizi bora na salama ya vifaa na mifumo ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEKNOHAMA) serikalini   wakati wa  kikao hicho cha kazi (retreat)  cha siku tatu cha Mawaziri, Manaibu Mawaziri na maafisa waandamizi wa serikali  kujadili mikakati endelevu na utekelezaji wa sasa na wa baadae katika  ukumbi wa St Gaspar mjini Dodoma.


Viongozi hawa wakichangia katika kikao hicho cha siku tatu kinachofanyika mjini Dodoma...

No comments:

Post a Comment