Wednesday, March 27, 2013

Rais afunga rasmi mafunzo ya JKT kwa wabunge na wananchi wengine.

Mbunge wa viti maalum (CCM) Ester Bulaya akipokea cheti cha kuhitimu mafunzo hayo jana kutoka kwa amiri jeshi mkuu Rais Jakaya Kikwete katika kambi ya Ruvu mkoa wa pwani.

Halima Mdee mbunge wa Kawe (Chadema, wa kwanza kushoto )akiwa na Mbunge wa viti maalum (CCM) Ester Bulaya (wa pili kutoka kushoto) wakati wakila kiapo cha utii baada ya kuhitimu mafunzo ya jeshi na ukakamavu kambi ya Ruvu.

Wabunge wengine waliohitimu katika kambi hiyo ni Neema Hamid, David Silinde, Murtadha Mangungu, Livingston Lusinde, Yusuph Khamis, Said Mtanda na Mendrad kigola.

Chanzo: Mjengwa website.

No comments:

Post a Comment