Monday, May 27, 2013

Ziara ya mkuu wa magereza kutoka nchini Namibia.

 Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Namibia, Kamishna Jenerali Evaristus Shikongo akiijaribu moja ya silaha inayotumika kwa ajili ya kutuliza ghasia wakati wowote inapotokea ndani na nje ya gereza.

 Askari wa Kikosi Maalum cha Kutuliza Ghasia Magerezani, wakimuonesha mbinu za kupambana na adui pasipo kutumia silaha Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Namibia.

Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Minja (kushoto) na Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Namibia, Kamishna Jenerali Evaristus Shikongo wakionyesha taarifa ya makubaliano waliyosaini.

No comments:

Post a Comment