Wednesday, January 1, 2014

Wasifu wa marehemu Dk Mgimwa


HISTORIA fupi ya Waziri wa Fedha wa Tanzania, Dr. William Mgimwa aliyefariki dunia nchini Afrika Kusini alipokuwa amelazwa kwa matibabu.

Kuzaliwa: Januari 20, 1950 Kalenga Iringa.

Elimu:
1966 - 1967 Shule ya Msingi Tosa

1961 -1965 Shule ya Msingi Wasa

1970-1971 Seminari ya Mafinga

1968 - 1969 Tosamaganga Sekondari

1975 - 1984 Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) - Postgraduate in Finance

1989 - 1991 IDM Mzumbe (MBA - Finance)


Ajira
1981 - 2000 - NBC Ltd (Mhasibu, Mhadhiri, Mkurugenzi, Mkurugenzi Mkuu)

2000 - 2010 - Chuo cha Benki Kuu ya Tanzania Mwanza (Mkuu wa Chuo)

2010 - 2013 - Mbunge, Kalenga (CCM)
Kufariki: Januari 1, 2014

No comments:

Post a Comment