Saturday, June 30, 2012

hili ndilo dege Boeing 777 analotaka kununua Rais Jacob Zuma, litakaloigharimu serikali ya Afrika ya Kusini Pound Milioni 150. sio mtaalamu wa mahesabu pound moja ni Tsh za madafu 2459 zidisha mara milioni 150.


No comments:

Post a Comment