Friday, June 29, 2012

Huyu ni jembe nae, anaitwa dada Jade Keane Communication manager Push Mobile Media Ltd. Ndiyo raha ya kutembea unakutana na watu wengi, huyu ni raia wa kigeni ila nilisahau kumuuliza anatoka nchi gani, si unajua watanzania tunaamini waafrika wote ni sawa? Leo hiyo ukumbi wa mikutano BOT.


No comments:

Post a Comment