Saturday, June 30, 2012

Mshindi wa taji la Miss Redd's 2012 mkoa wa Iringa Naomi James kati kati akiwa na mshindi wa pili Sarah Utiku na Catherine Mfupi ambaye ni mshindi wa tatu mara baada ya kutangazwa usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa Highlands mjini Iringa


No comments:

Post a Comment