Saturday, June 30, 2012

Mpaka sasa Waislam hawajapata msimamo juu kushiriki ama kutoshiriki sensa ya mwaka huu. Kigezo kikiwa ni kutokuwepo kwa kipengele cha dini katika dodoso la sensa..... je una maoni? tupia hapo chini..

kuanzia kulia ni Sharif Hussein al Musawa mwenyekiti wa wanazuoni Tanzania, katikati ni Sheikh Mataka na mwisho ni Sheikh Iddy Simba waziri wa zamani wa viwanda na biashara.

No comments:

Post a Comment