Thursday, January 31, 2013

Natamani kuwa wa kwanza kupata picha ya msanii Lulu akiwa katika kaburi la Kanumba.

Hapa Elizabeth Michael aka Lulu akizungumza na wanahabari baada ya kupata dhamana katika mahakama kuu Dar es Salaam juzi, dhidi ya kesi inayomkabili baada ya kuwa mtu wa mwisho kushuhudia Steven Kanumba akiwa hai.

No comments:

Post a Comment