Monday, October 22, 2012

Kikwete afunga rasmi uchaguzi wa umoja wa wanawake wa Tanzania.

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiingia katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kufunga mkutano mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT).


 Hapa akizungumza chochote kabla hajafunga mkutano huo uliomrudisha madarakani mwenyekiti wa UWT bi Sofia Simba, waziri wa wanawake jinsia na watoto.

                 Kikwete akisalimiana na wakongwe wa UWT 

No comments:

Post a Comment