Monday, May 27, 2013

Mkutano wa kujadili amani Umoja wa Afrika mjini Addis Ababa.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wanahabari baada ya kuhudhuria Mkutano wa Kanda wa Usimamizi wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika DRC na nchi za Maziwa Makuu katika makao makuu ya Umoja wa Afrika
Ibada ya kuwaombea waliotangulia kabla ya kuanza kikao.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizingumza na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mzee Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Afrika Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim kuhusiana na sherehe za miaka 50 ya AU alipokutana nao jijini Addis Ababa, Ethiopia,
 Ndani ya jengo la Umoja wa Afrika mjini Addis Ababa nchini Ethiopia, hii ndiyo taswira nzuri ya jengo hilo.


No comments:

Post a Comment