Wednesday, July 11, 2012

Kesi ya Prof Mahalu yaahirishwa mpaka mwezi ujao.

Ndugu zangu

Taarifa tulizozipata punde kutoka taarifa ya TBC1 ni kuwa kesi ya aliekuwa balozi wa Tanzania nchini Italy Prof Mahalu, imeahirishwa mpaka tarehe 9 mwezi ujao baada ya hakimu aliekuwa akisimamia kesi hiyo awali kurudi, hivyo kumfanya hakimu aliekaimu kesi hiyo kumwachia kuweza kuendelea na shauri hilo.

No comments:

Post a Comment