Tuesday, July 10, 2012

Mpaka sasa kido jembe iana wanakijiji 1829.... hit like if you are among them...


Ndugu zangu

Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa wadau wa blogu hii ya kijamii. Mwitiko umekuwa mkubwa tofauti na matarajio yangu. Kutoka mtu mmoja kwa siku mpaka watu 200 kwa siku si jambo dogo.

Jana blogu yangu ilitembelewa na watu 238, leo mpaka ninapoandika shukrani hii saa kumi alasiri nilikuwa nimetembelewa na wadau wasiopungua 150. Si haba wajameni muda si mrefu nitaanza kutembea na bahasha ya kuomba wadhamini.

Hivyo kama una kijikampuni chako usisite kunipa kijitangazo ili na mimi nipate chochote kitu niachane na umasikini, mnakumbuka niliwaambia kuwa umasikini hauna adabu?

Mpaka sasa nina wadau 1829, ni kijiji hicho jamani ama sivyo?

HAFIDH KIDO
0713 593894/ 0752 593894
DAR ES SALAAM, TANZANIA.

No comments:

Post a Comment