Hili nalo ni jembe nilikuwa nae New Habari, anaitwa Evans Magege, yupo gazeti Mtanzania na Rai. Tulikutana leo kijiweni Idara ya habari maelezo Samora Avenue.
Majembe yamekutana, Waandishi wa habari nguli hao. Katikati ni Bakari kimwanga (Mtanzania) na Mwinshehe (Jambo Leo). Nilikutana nao kijiweni Maelezo. Kawaida hata kama sina pesa nikija hapa majembe yangu haya lazima watanidhamini kusafisha viatu na kunywa chai bahari beach hotel.....
Hili jembe nalo usicheze nalo, anaitwa dada Rose ilikuwa nae gazeti Dira ya Mtanzania mwaka 2009.. Kwa sasa sijui yupo wapi ila namuona ona akisoma magazeti C2C TV.
Mwanaume hasifiwi sura ni pirika na kuhangaika.... Barabara ya Morogoro hii asubuhi hii..




No comments:
Post a Comment