Friday, December 28, 2012

Unaweza ukahisi Mbunge huyu wa Tanzania anafanya nini hapo?


Mheshimiwa Nimrod Mkono (Mb) akipita kati kati ya msitu mkubwa akiwaongoza Waandishi wa habari na wadau wengine akiwaonnesha mipango na maeneo ya maendeleo anayofanya na anayokusudia kufanya katika Jimbo lake la Musoma vijijini mkoani Mara. msitu huo ni mkubwa na wenye miti yenye miiba lakini alipita, akipita mipenyo na wakati mwingi kulazimika kutambaa chini katika mstu mnene. Nyuma ya mhe.mkono kuna mtu mwingine unaonekana mkono wake tu kwa mbali sana. Kufanya kazi na Mheshimiwa huyu unatakiwa kuwa jasiri. 

Picha na Jacob Malihoja 

No comments:

Post a Comment