Friday, December 28, 2012

Twaha Shekue 'messi' wa Coastal Union B kushoto akijaribu kumtoka mchezaji wa Azam Fc B Dizana Yarouk katika fainali ya Uhai Cup. Ambapo Azam walichukua kikombe.

Eeeeh Mungu mpe umri huyu kijana maana anapiga mpira balaaaaa... pia ni mcheza wa Coastal kubwa amepandishwa katika dirisha dogo, hivyo tegemea kuona maajabu yake mzunguko wa pili ligi kuu bara. Kadalika ni nahodha wa timu ya taifa vijana chini ya miaka 17........

No comments:

Post a Comment