Monday, December 31, 2012

Kesi ya Sheikh Ponda yaahirihwa kwa kukosa mashahidi mahakamani leo.

 Katibu Mkuu  wa  Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda akiingia katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo pamoja na washtakiwa wenzake 49, hata hivyo kesi hiyo imeahirishwa kutokana na mashahidi upande wa mashtaka ambao ni serikali kutofika mahakamani hapo.
 
 Wafuasi wa Sheikh Ponda wakiwa nje ya mahakama kuhakikisha sheikh wao anapata haki.

Sheikh Ponda Issa Ponda akiwa na mshtakiwa mwenzake,  Mukadam Abdal Swalehe (kushoto).

Kulikuwa na ulinzi si wa kawaida leo katika mahakama ya Kisutu..

Picha zote kwa hisani ya Habari Mseto Blog.

No comments:

Post a Comment