Monday, March 25, 2013

Makamu wa Rais afungua mkutano wa kuhimili mabadiliko ya tabia nchi..

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania Dk Muhammed Gharib Bilal  akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa wakati wa Mkutano Ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa kuhusu kuhimili Mabadiliko ya Tabiachi kwa Njia za asili.



Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania Dkt Muhammed Ghari Bilal na Waziri wa Nchi Ofisi yaMakamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa wakionyesha kitabu cha Mkakati wa Kitaifa wa Mabadiliko ya tabianchi mara Baada ya Kukizindua Makamu  wa Rais  Kwenye Hotel ya New Afrika Jijini Dar es Salaam.
[Picha na Ali Meja} 

No comments:

Post a Comment