Monday, March 4, 2013

Siku ya mazingira Afrika....

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meek Sadiki akifanya Ufasi  Wa jiji katika Barabara ya Kawe kwenye Wakati wa Kuadhimisha Siku ya Mazingira Barani Afrika Kulia Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Julias Ningu.

Waziri wa Nchi  Katika Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan na Waziri wa mazingira  Dk Terezya Huvisa, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Chalrs Kitwanga na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Sar es Salaam Said Meek Sadiki wakifanya Usafi Kandokando ya barabara ya kawe Wakati wa Kuadhimisha Siku ya Mazingira Barani Afrika Sherehe hizo zimefanyika kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers Jijini Dar es Salaam jana.

 Baadhi ya Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Wakifanya Usafi Kuadhimisha siku ya Mazingira Barani Afrika.

Waziri wa Mazingira Dk Terezya Huvisa akiwahutubia Wananchi wa Wilaya ya Kinondoni Wakati Sherehe hizoa Kuadhimisha Siku ya Mazingira Barani Afrika kwenye Viwanja vya Tanganyika  Packers huko Kawe Jijini Dar es Salaam jana.

Picha kwa hisani ya Ali Meja ofisi ya Makamu wa Rais.

No comments:

Post a Comment