Huu ni ukumbi wa Posta Mpya, kama usipopita hapa hujafika mjini.
Wanafunzi wa Shule ya msingi Bunge wakichagua maembe,Leo Jijini.
Mkia wa taa huu, mhhh usiombe mtu akuchape na mkia wa taa...
Msaada kwenye tuta, shoga anamfanyaje mwenzie?
Ukisikia jitangazo ndilo hili sasa mtajipanga tu.
Baba ametumwa pesa, haina kuremba hiyo.. hatuuzi sura hapa.
Haya sagura sagura ya samaki Soko la Ferry,leomchana.
HOUSE OF DEMOCRACY








No comments:
Post a Comment