Thursday, July 5, 2012

maoni ya mdau wa Kidojembe blogspot haya, na wewe tupia yako haina gharama.


Iko poa imekaa poa kaka, kwanza kabisa nimelipenda jina lake, so unique, habari mpangilio uko poa ama kwa hakika unaitendea haki shahada yako imekaa kihabari zaidi.

Blog nyingi watu wanaandika andika tu alimuradi halafu wengi 'wanacopiana' habari na links. Endelea kutuhabarisha kaka tupo pamoja na twahitaji picha nyingi zaidi za matukio to make it more colorful other ways your doing good work congratulations kaka! 

Wilbart.

No comments:

Post a Comment