Thursday, August 30, 2012

Hatimae KomandooSalmin akumbukwa kutoka mafichoni...


Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Profesa. Idris Ahmada Rai (kushoto) akimkabidhi Shahada ya uzamivu (PHD)  ya heshima ya Chuo Kikuu hichoc, Rais mstaafu wa awamu ya tano wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Salmin Amour Juma nyumbani kwake Migombani mjini Zanzibar. Kulia ni mjumbe wa Baraza, Mohammed Said Dimwa.

Picha kwa hisani ya amanitanzania.blogspot

No comments:

Post a Comment