Friday, August 31, 2012

Jamani eeennhh leo jembe ijumaa nimesalia msikiti wa harakati...

Nimefurahishwa sana na hutba ya leo iliyotolewa na sheikh Hasheem Rusaganya, ilihusu husuda. Kumuonea mwenzio kijicho. Ilikuwa katika msikiti wa Mtambani Kinondoni B...

No comments:

Post a Comment