Saturday, April 27, 2013

Angalia namna Liverpool walivyofanya maajabu kwa kuichapa Newcastle 6-0


Leading the way: The result leaves Alan Pardew's side just five points above the relegation zoneKocha Alan Pardew hakika yupo hatarini sana msimu huu  
Majogoo wa jiji ama wekundu wa Anfield wameshusha kipondo cha mbwa mwizi kwa paka weusi Newcastle United kwa kuwabomoa bao 6-0 katika dimba la matakatifu James Park.
Matokeo hayo yamempa wakati mgumu kocha wa Newcstle Alan Pardew ukizingatia msimu huu sio mzuri kwake.
Machungu makubwa yamewapata Newcastle wakati kwa vijana wa Brendan Rodgers  furaha na nderemo zimejaa usiku huu baada ya kufanya mauaji makubwa sana leo hii.
On the way: Daniel Agger (centre) scored early to put Liverpool on the way to a comfortable victory
Mapema kabisa: Daniel Agger (katikati) akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao la mapema kwa Liverpool
Celebration: Fabio Borini shows his delight after netting Liverpool's fifth goalShangwe: Fabio Borini akishangilia bao lake la tano kwa majogoo wa jiji
Borini
No contest: Liverpool's Jose Enrique (left) vies with Newcastle United's Moussa Sissoko  Jose Enrique wa Liverpool (kushoto) akichuana na nyota wa Newcastle Moussa Sissoko
Rout: Two-goal Daniel Sturridge takes the ball past Newcastle's Jonas GutierrezDaniel Sturridge akichukua gozi kutoka kwa Jonas Gutierrez wa Newcastle United
More to come: Jordan Henderson wheels away in celebration after scoring his first goalJordan Henderson  akishangilia bao lake leo
Dance: Sturridge laps up the appreciation after his goalSturridge akishangilia bao lake 
No avial: Massadio Haidara flies in to try and win the ball from Liverpool's Stuart Downing
Beki wa Nescstle Massadio Haidara akijaribu kuchukua mpira kutoka kwa nyota wa Liverpool Stuart Downing
Rounded off: Daniel Agger watches a free kick by Jordan Henderson go past keeper Rob Elliot for number sixDaniel Agger  akiutazama mpira unaozama kimiani uliochongwa na Jordan Henderson



FULLSHANGWE BLO

No comments:

Post a Comment