.
Friday, April 19, 2013
China kusaidia tasnia ya sanaa nchini.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ,Vijana ,Utamaduni na Michezo Bw. Seth Kamuhanda akizungumza na ujumbe kutoka Shirikisho la Fasihi na Sanaa kutoka China ukiongozwa na Bi Yang Chengzhi wa kwanza kushoto waliokuja kutembelea kituo cha Tingatinga pamoja na Baraza la sanaa kama sehemu ya kujifunza utajiri wa sanaa nchini, wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Pro.Hermas Mwansoko.
(Picha na Beatrice Mlyansi-MAELEZO)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment