Thursday, September 13, 2012

Ujenzi wa daraja la kigamboni litakalounganisha Kivukoni na Kigamboni limeshaanza kujengwa.....





Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akikagua ujenzi wa daraja la Kigamboni akiwa ameambatana na viongozi wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Mecki Sadiki, Mbunge wa Kigamboni Dkt.Faustine Ndugalile. Daraja la Kigamboni linajengwa na kampuni ya China Railways Engineering kwa gharama ya shilingi bilioni 214 na linatarajia kukamilika kabla ya mwaka 2015.

No comments:

Post a Comment